”Wanganga Wakuu hamasisheni wananchi kujiunga na Mfuko wa CHF”.Waziri Kairuki.
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Angellah Kairuki amewaelekeza Wanganga Wakuu wa Mikoa na Halmashauri kuhakikisha wanatoa huduma bara za afya ili kuwahamasisha wananchi kuendelea kujiunga na Mfuko wa Bima ya Afya kwa Jamii(CHF). Kairuki ameyasema hayo leo Februari 22, 2023 jijini Dodoma wakati wa kuufunga mkutano
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed